Tuesday, June 7, 2016

Entertainment Picha,Jumba lililotumika kuhifadhi mwili wa bondia Muhammad Ali linavyolindwa.

HAYATI MOHAMAD ALI
Jumba lililotumika kuhifadhi mwili wa bondia Muhammad Ali limeonekana kulindwa vikali na timu ya askari tofauti.

Mashaidi mjini Louisville, Kentucky wameona zaidi ya magari matatu ya polisi nje ya jumba hilo la A.D. Porter & Sons. Askari hao ni kutoka kikosi cha Jefferson County Sheriff na Louisville Metro PD.

Msemaji wa nyumba hio ya kuhifadhi maiti amesema polisi wapo hapo kuzuia fujo kutoka kwa mashabiki na wapenzi pamoja na kulinda mwili wa bondia huyo.

Muhammad Ali anazikwa ijumaa hii.

0 comments:

Post a Comment